Saturday, June 15, 2013

Ndege maalumu za kivita kutawala anga Dar

Pamoja na ulinzi wa hali ya juu ardhini, ndege za kivita zitatawala anga ya Tanzania kwa saa 24 kwa siku zote atakazokaa.


Dar es Salaam. Idara ya Ujasusi ya Marekani imeweka bayana kwamba inajitegemea kwa ulinzi katika ziara nzima ya Rais Barack Obama kwa nchi za Afrika, ikiwemo Tanzania, Afrika Kusini na Senegal.

Saturday, May 18, 2013

FISI aitwae "MASIKA



                          
                                   Hadithi Ya Fisi Mvivu aitwaye Masika

Hadithi Hadithi,
Hadithi njoo, uwongo njoo, utamu kolea.
Hapo  zamani  za  kale  palikuwa  na  Fisi  aitwaye  Masika.  Masika  alikuwa  ni  Fisi  mvivu  sana  asiyependa
kufanya kazi ya aina yoyote, alipenda tu kulala muda wote. Tangia enzi zake alivyokuwa anasoma shule,
hakupenda  kukaa  darasani  na  kumsikiliza  mwalimu.  Aliwaza  tu  kurudi  nyumbani  na  kulala  kitandani
kwake.  Masika  alikuwa  ni  mvivu  kiasi  kwamba  mara  nyingine  mwalimu  wake  akifundisha  darasani,
Masika  alikuwa  akisinzia.  Mwalimu  akimuuliza  kwanini  anafanya  hivyo  alilia  kwa  sauti  ya  unyonge!
“Uuuwiii, uuuwiii, nimechoka, uuuuuwiii.” Afikapo tu nyumbani alijivuta mpaka kitandani na kulala huku
akikoroma. Wazazi wake walikuwa wakimtuma kutafuta kuni kwa ajili ya kupikia lakini Masika hakuweza
kufanya hivyo kwa ajili ya uvivu wake, Masika alipenda sana kucheza tu na baadae akichoka analala bila
hata ya kuoga.

Thursday, May 16, 2013

Baadhi yaNjia Unazoweza Kutumia Kupata wazo Bora kabisa la Biashara


Wazo laBiashara ni moja ya mambo yanayowaumiza watu wengi sana, Na mara nyingi wazo la biashara linahitaji utafiti wa kina ilikuja na wazo lenye tija kwako na kwa jamii  nzima,

HIZI NI MOJA YA NJIA ZA KUPATA WAZO LA BIASHARA

1. TUMIA UJUZI ULIONAO
Ujuzi  ulionao ndo sehemu ya kwanza kabisa ya kupatawazo la Biashara, Mfano kama wewe umeajiliwa nani mtaalamu wa ramani, kwanini usianzishe na wewe kitengo cha biashara ya aina hiyo? Kama wewe ni kuchapisha vitabu kwanini usianzishe kiwanda kidogo cha kuchapisha vitabu cha kwako?
Ujuzi ulianao ndo hazina ya kwanza naya kipekee ya kupata wazo na mara nyingi wajasiliamali wengi waliofanikiwa waliacha kazi wanazofanya nakwenda kuanzisha za aina hiyo na kuzimiliki wenyewe.


Huduma za Upimaji Ramani



Majukumu ya Idara kwa Ujumla

Majukumu ya Idara

Upimaji na Ramani ni Idara katika Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi. Jukumu lake kubwa ni usimamizi wa upimaji ardhi na utayarishaji wa ramani na plani mbalimbali za nchi mijini na vijijini. Ramani hizo ni msingi wa kubuni, kutekeleza na kuratibu mipango ya maendeleo juu ya ardhi katika sekta na kwa matumizi mbalimbali kama:

  • Umilikishaji ardhi
  • Kupanga matumizi ya ardhi
  • Utalii
  • Mawasiliano
  • Makazi
  • Kilimo
  • Hifadhi ya mazingira
  • Utafiti na uchimbaji madini

JE, WEWE NI MMOJA WA VIJANA WENYE TATIZO LA KUJICHUA AU UNAMFAHAMU MWENZAKO MWENYE TABIA HIYO? SOMA HAPA UJIELIMSHE


Stop masturbation 
you will die barren 

Kujichua ni tabia ya kingono ambayo inapofanywa kwa kiwango kikubwa inaleta matatizo ya kiumbo na kisaikolojia kwa anayefanya tendo hilo.
Na katika kipindi cha zama hizi ambazo majarida, vipindi na hata mitandao mingi inaonyesha picha za ngono ndio kunaifanya tabia hii kushamiri kwa kiwango kikubwa.
Kwani vijana wengi wanaingia katika mchezo huu wa kujiridhisha wenyewe bila kujua madhara yatakayokuja baadaye.