Saturday, June 15, 2013

Ndege maalumu za kivita kutawala anga Dar

Pamoja na ulinzi wa hali ya juu ardhini, ndege za kivita zitatawala anga ya Tanzania kwa saa 24 kwa siku zote atakazokaa.


Dar es Salaam. Idara ya Ujasusi ya Marekani imeweka bayana kwamba inajitegemea kwa ulinzi katika ziara nzima ya Rais Barack Obama kwa nchi za Afrika, ikiwemo Tanzania, Afrika Kusini na Senegal.